Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 29:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Ikawa katika mwaka wa ishirini na saba, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, mwaka wa ishirini na saba tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, mwaka wa ishirini na saba tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, mwaka wa ishirini na saba tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Katika mwaka wa ishirini na saba, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza, neno la Mwenyezi Mungu likanijia, kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Katika mwaka wa ishirini na saba, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza, neno la bwana likanijia, kusema:

Tazama sura Nakili




Ezekieli 29:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya tano ya mwezi, nao ulikuwa ni mwaka wa tano wa kuhamishwa kwake mfalme Yehoyakini,


Tena, katika mwaka wa tisa, mwezi wa kumi, siku ya kumi ya mwezi, neno la BWANA likanijia, kusema,


Ikawa katika mwaka wa kumi na mmoja, siku ya kwanza ya mwezi, neno la BWANA likanijia, kusema,


Katika mwaka wa kumi, mwezi wa kumi, siku ya kumi na mbili ya mwezi, neno la BWANA likanijia, kusema,


Neno la BWANA likanijia tena, kusema,


Ikawa katika mwaka wa kumi na mmoja, mwezi wa kwanza, siku ya saba ya mwezi, neno la BWANA likanijia, kusema,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo