Ezekieli 27:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Wazee wa Gebali na wenye akili wake walikuwa ndani yako, wenye kutia kalafati; merikebu zote za bahari na mabaharia wao walikuwa ndani yako, ili kubadiliana biashara yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Wazee wa Gebali na mafundi wao walikuwa kwako kuziba nyufa zako. Mabaharia waliokuwa wakipitia kwako walifanya biashara nawe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Wazee wa Gebali na mafundi wao walikuwa kwako kuziba nyufa zako. Mabaharia waliokuwa wakipitia kwako walifanya biashara nawe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Wazee wa Gebali na mafundi wao walikuwa kwako kuziba nyufa zako. Mabaharia waliokuwa wakipitia kwako walifanya biashara nawe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Wazee wa Gebali pamoja na mafundi stadi walikuwa mafundi wako kwenye meli. Meli zote za baharini na mabaharia wao walikuja kwako ili kubadilishana bidhaa zako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Wazee wa Gebali pamoja na mafundi stadi walikuwa mafundi wako melini. Meli zote za baharini na mabaharia wao walikuja kwako ili kubadilishana bidhaa zako. Tazama sura |