Ezekieli 27:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 kwa mialoni ya Bashani wamefanya makasia yako; na sitaha zako wamezifanya kwa pembe iliyotiwa kazi ya njumu katika mti wa mihugu itokayo Kitimu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Walichukua mialoni toka Bashani wakakuchongea makasia yako; walikitengenezea silaha kwa misonobari ya kisiwa cha Kupro, na kuipamba kwa pembe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Walichukua mialoni toka Bashani wakakuchongea makasia yako; walikitengenezea silaha kwa misonobari ya kisiwa cha Kupro, na kuipamba kwa pembe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Walichukua mialoni toka Bashani wakakuchongea makasia yako; walikitengenezea silaha kwa misonobari ya kisiwa cha Kupro, na kuipamba kwa pembe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Walichukua mialoni kutoka Bashani wakakutengenezea makasia yako; kwa miti ya msanduku kutoka pwani ya Kitimu wakatengeneza sitaha yako na kuipamba kwa pembe za ndovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Walichukua mialoni toka Bashani wakakutengenezea makasia yako; kwa miti ya msanduku kutoka pwani ya Kitimu wakatengeneza sitaha yako na kuipamba kwa pembe za ndovu. Tazama sura |