Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 27:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Mbao zako zote wamezifanya kwa misonobari itokayo Seniri; wametwaa mierezi ya Lebanoni ili kukufanyia mlingoti;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Wajenzi wako walitumia misonobari kutoka Seniri kupasua mbao zako zote; walichukua mierezi kutoka Lebanoni kukutengenezea mlingoti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Wajenzi wako walitumia misonobari kutoka Seniri kupasua mbao zako zote; walichukua mierezi kutoka Lebanoni kukutengenezea mlingoti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Wajenzi wako walitumia misonobari kutoka Seniri kupasua mbao zako zote; walichukua mierezi kutoka Lebanoni kukutengenezea mlingoti.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Walizifanya mbao zako zote kwa misunobari kutoka Seniri; walichukua mwerezi kutoka Lebanoni kukutengenezea mlingoti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Walizifanya mbao zako zote kwa misunobari itokayo Seniri; walichukua mierezi kutoka Lebanoni kukutengenezea mlingoti.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 27:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Hiramu, mfalme wa Tiro, akawatuma watumishi wake kwa Sulemani; kwani alikuwa amesikia ya kwamba wamemtia mafuta awe mfalme mahali pa baba yake. Kwa maana Hiramu alikuwa akimpenda Daudi siku zote.


Basi uamuru wanikatie mierezi ya Lebanoni; na watumishi wangu watafuatana na watumishi wako; na ujira wa watumishi wako nitakupa kama utakavyosema; kwa kuwa wajua ya kwamba hakuna kwetu mtu ajuaye kukata miti kama Wasidoni.


Na wana wa nusu kabila la Manase walikaa katika nchi; nao wakaongezeka kutoka Bashani mpaka Baal-hermoni, na Seniri, na mlima Hermoni.


Unitumie mtu stadi wa kuchonga dhahabu, fedha, shaba na chuma, na wa nguo za urujuani, nyekundu na samawati, ajuaye kutia nakshi, awe mmoja wa mastadi walioko pamoja nami Yuda na Yerusalemu ambao aliwaweka baba yangu Daudi.


Miti ya BWANA nayo imetoshelezwa maji, Mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.


Sauti ya BWANA yaivunja mierezi; Naam, BWANA aivunjavunja mierezi ya Lebanoni;


Mwenye haki atastawi kama mtende, Atakua kama mwerezi wa Lebanoni.


Bibi arusi, njoo pamoja nami toka Lebanoni, Pamoja nami toka Lebanoni. Shuka kutoka kilele cha Amana, Kutoka vilele vya Seniri na Hermoni; Kutoka mapangoni mwa simba, Kutoka milimani mwa chui.


Naam, misonobari inakufurahia, Na mierezi ya Lebanoni, ikisema, Tokea wakati ulipolazwa chini wewe, Hapana mkata miti aliyetujia.


Mipaka yako i kati ya moyo wa bahari; wajenzi wako wameukamilisha uzuri wako.


(na hiyo Hermoni Wasidoni huiita Sirioni, na Waamori huiita Seniri);


Tufuate:

Matangazo


Matangazo