Ezekieli 27:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Na katika kulia kwao watakufanyia maombolezo, na kukuombolezea, wakisema, Ni nani aliye kama Tiro, kama yeye aliyenyamazishwa kati ya bahari? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Wataimba wimbo wa ombolezo juu yako; ‘Nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro katikati ya bahari?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Wataimba wimbo wa ombolezo juu yako; ‘Nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro katikati ya bahari?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Wataimba wimbo wa ombolezo juu yako; ‘Nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro katikati ya bahari?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Watakapokuwa wanalia na kuomboleza juu yako, watafanya maombolezo kukuhusu wakisema: “Ni nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro, katika moyo wa bahari?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Watakapokuwa wanalia na kuomboleza juu yako, watafanya maombolezo kukuhusu wakisema: “Ni nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro, katika moyo wa bahari?” Tazama sura |