Ezekieli 23:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC38 Tena wamenitenda haya; wamepatia unajisi mahali pangu patakatifu, siku ile ile, nao wamezitangua sabato zangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Tena si hayo tu! Wameikufuru maskani yangu na kuzitangua sabato zangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Tena si hayo tu! Wameikufuru maskani yangu na kuzitangua sabato zangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Tena si hayo tu! Wameikufuru maskani yangu na kuzitangua sabato zangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Pia wamenifanyia hili: wakati huo huo wamenajisi patakatifu pangu na kuzitangua Sabato zangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Pia wamenifanyia hili: wakati huo huo wamenajisi patakatifu pangu na kuzitangua Sabato zangu. Tazama sura |
Makuhani wake wameivunja sheria yangu, wametia unajisi vitu vyangu vitakatifu; hawakuweka tofauti ya vitu vitakatifu na vitu vya kutumiwa sikuzote; wala hawakuwafundisha watu kupambanua vitu vichafu na vitu vilivyo safi, nao wamefumba macho yao, wasiziangalie sabato zangu, nami nimetiwa unajisi kati yao.