Ezekieli 23:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Akawapendelea wapenzi wao, ambao nyama ya mwili wao ni kama nyama ya mwili wa punda, nacho kiwatokacho ni kama kiwatokacho farasi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Aliwatamani sana wanaume wenye tamaa mbaya kama ya punda na nguvu nyingi za uzazi kama farasi dume.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Aliwatamani sana wanaume wenye tamaa mbaya kama ya punda na nguvu nyingi za uzazi kama farasi dume.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Aliwatamani sana wanaume wenye tamaa mbaya kama ya punda na nguvu nyingi za uzazi kama farasi dume.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Huko aliwatamani wapenzi wake, ambao viungo vyao vya uzazi ni kama vya punda, na kile kiwatokacho ni kama kiwatokacho farasi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Huko aliwatamani wapenzi wake, ambao viungo vyao vya uzazi ni kama vya punda, na kile kiwatokacho ni kama kiwatokacho farasi. Tazama sura |