Ezekieli 22:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Naam, nitawakusanya, na kuwafukutia moto wa ghadhabu yangu, nanyi mtayeyushwa kati yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Nitawakusanya na kuwawasha moto kwa ghadhabu yangu; nanyi mtayeyushwa mkiwa humo mjini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Nitawakusanya na kuwawasha moto kwa ghadhabu yangu; nanyi mtayeyushwa mkiwa humo mjini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Nitawakusanya na kuwawasha moto kwa ghadhabu yangu; nanyi mtayeyushwa mkiwa humo mjini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Nitawakusanya na kupuliza juu yenu moto wa hasira yangu na ghadhabu yangu nanyi mtayeyushwa ndani ya huo mji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Nitawakusanya na kupuliza juu yenu moto wa hasira yangu na ghadhabu yangu nanyi mtayeyushwa ndani ya huo mji. Tazama sura |