Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 21:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Neno la Mwenyezi Mungu likanijia, kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Neno la bwana likanijia, kusema:

Tazama sura Nakili




Ezekieli 21:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Watekao nyara wamepanda juu ya vilele vya milima katika nyika; kwa maana upanga wa BWANA utaangamiza toka upande mmoja wa nchi hata upande wa pili wa nchi; hapana mwenye mwili atakayekuwa na amani.


Au nikileta upanga juu ya nchi ile, na kusema, Upanga, pita kati ya nchi hii, hata nikawakatilia mbali na nchi hiyo wanadamu na wanyama;


Na itakuwa, wakuambiapo, Mbona unapiga kite? Ndipo utakaposema, Kwa sababu ya habari hizo, maana linakuja; na kila moyo utayeyuka, na mikono yote itakuwa dhaifu, na kila roho itazimia, na magoti yote yatageuka kuwa kama maji; tazama, linakuja, nalo litatendeka, asema Bwana MUNGU.


Mwanadamu, tabiri, useme, BWANA asema hivi; Nena, Upanga, upanga, umenolewa na kusuguliwa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo