Ezekieli 2:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Akalikunjua mbele yangu; nalo lilikuwa limeandikwa ndani na nje; ndani yake yalikuwa yameandikwa maombolezo, na vilio, na ole! Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Basi akakifungua mbele yangu, nacho kilikuwa kimeandikwa mbele na nyuma maneno ya maombolezo, vilio na laana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Basi akakifungua mbele yangu, nacho kilikuwa kimeandikwa mbele na nyuma maneno ya maombolezo, vilio na laana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Basi akakifungua mbele yangu, nacho kilikuwa kimeandikwa mbele na nyuma maneno ya maombolezo, vilio na laana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 ambacho alikikunjua mbele yangu. Pande zote mbili kilikuwa kimeandikwa maneno ya maombolezo, na vilio na ole. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 ambao aliukunjua mbele yangu. Pande zote mbili ulikuwa umeandikwa maneno ya maombolezo, vilio na ole. Tazama sura |