Ezekieli 19:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 useme, Mama yako alikuwa nini? Simba mke; alijilaza kati ya simba, kati ya wanasimba aliwalisha watoto wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mama yenu alikuwa simba wa fahari miongoni mwa simba wengine. Alikaa kati ya simba vijana, akawalisha watoto wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mama yenu alikuwa simba wa fahari miongoni mwa simba wengine. Alikaa kati ya simba vijana, akawalisha watoto wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mama yenu alikuwa simba wa fahari miongoni mwa simba wengine. Alikaa kati ya simba vijana, akawalisha watoto wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 na useme: “ ‘Tazama jinsi gani mama yako alivyokuwa simba jike miongoni mwa simba! Alilala katikati ya wana simba na kulisha watoto wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 na useme: “ ‘Tazama jinsi gani mama yako alivyokuwa simba jike miongoni mwa simba! Alilala katikati ya wana simba na kulisha watoto wake. Tazama sura |