Ezekieli 18:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 wala hakumdhulumu mtu, bali amemrudishia mdeni wake rehani yake, wala hakumnyang'anya mtu mali yake kwa nguvu, naye amewapa wenye njaa chakula chake, na kuwavika nguo walio uchi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 kama hamdhulumu mtu yeyote, bali hurudisha rehani, kama hanyanganyi watu mali zao, bali huwapa chakula wenye njaa na kuwavalisha walio uchi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 kama hamdhulumu mtu yeyote, bali hurudisha rehani, kama hanyanganyi watu mali zao, bali huwapa chakula wenye njaa na kuwavalisha walio uchi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 kama hamdhulumu mtu yeyote, bali hurudisha rehani, kama hanyang'anyi watu mali zao, bali huwapa chakula wenye njaa na kuwavalisha walio uchi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Hamdhulumu yeyote, bali hurudisha kilichowekwa rehani kwake. Hanyang’anyi, bali huwapa wenye njaa chakula chake na huwapa nguo walio uchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Hamwonei mtu yeyote, bali hurudisha kilichowekwa rehani kwake. Hanyang’anyi, bali huwapa wenye njaa chakula chake na huwapa nguo walio uchi. Tazama sura |