Ezekieli 18:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Maana mimi sikufurahii kufa kwake afaye, asema Bwana MUNGU; basi ghairini, mkaishi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Sifurahii kifo cha mtu yeyote. Hivyo tubuni ili mpate kuishi. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Sifurahii kifo cha mtu yeyote. Hivyo tubuni ili mpate kuishi. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Sifurahii kifo cha mtu yeyote. Hivyo tubuni ili mpate kuishi. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Kwa maana sifurahii kifo cha mtu yeyote, asema Bwana Mungu Mwenyezi. Tubuni basi, mkaishi! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Kwa maana sifurahii kifo cha mtu awaye yote afaye katika uovu, asema bwana Mwenyezi. Tubuni basi, mkaishi! Tazama sura |