Ezekieli 18:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, hamtakuwa na sababu ya kuitumia tena mithali hii katika Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Lakini, kama niishivyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, nasema kwamba methali hii haitatumika tena katika Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Lakini, kama niishivyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, nasema kwamba methali hii haitatumika tena katika Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Lakini, kama niishivyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, nasema kwamba methali hii haitatumika tena katika Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 “Hakika kama niishivyo, asema Bwana Mungu Mwenyezi, hamtatumia tena mithali hii katika Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 “Hakika kama niishivyo, asema bwana Mwenyezi, hamtatumia tena mithali hii katika Israeli. Tazama sura |