Ezekieli 18:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 wala hakumdhulumu mtu, wala hakutwaa kitu kiwekwe rehani, wala hakumnyang'anya mtu mali yake kwa nguvu, bali amewapa wenye njaa chakula chake, na kuwafunika nguo walio uchi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 hampunji mtu yeyote, hashiki rehani, hanyanganyi watu mali zao, bali huwapa chakula wenye njaa na kumvalisha aliye uchi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 hampunji mtu yeyote, hashiki rehani, hanyanganyi watu mali zao, bali huwapa chakula wenye njaa na kumvalisha aliye uchi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 hampunji mtu yeyote, hashiki rehani, hanyang'anyi watu mali zao, bali huwapa chakula wenye njaa na kumvalisha aliye uchi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Hamdhulumu yeyote wala kutaka rehani kwa ajili ya mkopo. Hanyang’anyi, bali huwapa wenye njaa chakula chake na huwapa nguo walio uchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Hakumwonea mtu yeyote wala hakutaka rehani kwa ajili ya mkopo. Hanyang’anyi, bali huwapa wenye njaa chakula chake na huwapa nguo walio uchi. Tazama sura |