Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 18:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Walakini akizaa mwana aliye mnyang'anyi, mmwaga damu, atendaye mambo hayo mojawapo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 “Ikiwa mtu huyo ana mtoto mkatili au muuaji,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 “Ikiwa mtu huyo ana mtoto mkatili au muuaji,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 “Ikiwa mtu huyo ana mtoto mkatili au muuaji,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 “Aweza kuwa ana mwana jeuri, amwagaye damu au atendaye mojawapo ya mambo haya

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 “Aweza kuwa ana mwana jeuri, amwagaye damu au atendaye mojawapo ya mambo haya

Tazama sura Nakili




Ezekieli 18:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu yeyote ampigaye mtu, hata akafa, hana budi atauawa huyo.


Mwizi akipatikana akiwa yu hali ya kuvunja mahali, naye akapigwa hata akafa, hapatakuwa na malipizo ya damu kwa ajili yake.


wala hakutenda mojawapo la mambo hayo yampasayo, bali amekula juu ya milima, na kumtia unajisi mke wa jirani yake,


tena ikiwa amezifuata sheria zangu, na kuzishika hukumu zangu; mtu huyu ni mwenye haki; hakika ataishi, asema Bwana MUNGU.


Efraimu amenitia hasira kali sana; kwa sababu hiyo damu yake itaachwa juu yake, na Bwana wake atamrudishia lawama yake.


Usimdhulumu jirani yako, wala kumnyang'anya mali yake; ujira wake aliyeajiriwa usikae kwako usiku kucha hadi asubuhi.


Tena, msipokee fidia kwa ajili ya uhai wa mwuaji, ambaye amekuwa na hatia ya mauti; Lakini lazima atauawa.


Basi wakapiga kelele tena kusema, Si huyu, bali Baraba. Naye yule Baraba alikuwa mnyang'anyi.


si kama Kaini alivyokuwa wa yule mwovu, akamwua ndugu yake. Naye alimwua kwa sababu gani? Kwa sababu matendo yake yalikuwa mabaya, na ya ndugu yake yalikuwa ya haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo