Ezekieli 16:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Kisha nikakuosha kwa maji; naam, nilikuosha kabisa damu yako, na kukupaka mafuta; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 “Kisha nikachukua maji, nikakuosha damu uliyokuwa nayo, nikakupaka mafuta. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 “Kisha nikachukua maji, nikakuosha damu uliyokuwa nayo, nikakupaka mafuta. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 “Kisha nikachukua maji, nikakuosha damu uliyokuwa nayo, nikakupaka mafuta. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 “ ‘Nilikuogesha kwa maji, nikakuosha ile damu na kukupaka mafuta. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 “ ‘Nilikuogesha kwa maji, nikakuosha ile damu na kukupaka mafuta. Tazama sura |