Ezekieli 16:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Tena, katika mambo yako ya kikahaba, wewe na wanawake wengine ni mbalimbali, kwa kuwa hapana akufuataye katika mambo yako ya kikahaba; tena kwa kuwa unatoa ujira, wala hupewi ujira; basi, njia yako na njia yao ni tofauti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Katika umalaya wako hukufanya kama wanawake wengine: Hakuna aliyekubembeleza ili uzini naye bali wewe ulilipa fedha badala ya kulipwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Katika umalaya wako hukufanya kama wanawake wengine: Hakuna aliyekubembeleza ili uzini naye bali wewe ulilipa fedha badala ya kulipwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Katika umalaya wako hukufanya kama wanawake wengine: hakuna aliyekubembeleza ili uzini naye bali wewe ulilipa fedha badala ya kulipwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Kwa hiyo wewe ulikuwa tofauti na wanawake wengine kwenye ukahaba wako. Hakuna aliyekutongoza ili kuzini naye, bali wewe ulikuwa tofauti kabisa, kwani ulilipa wakati hakuna malipo uliyolipwa wewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Kwa hiyo wewe ulikuwa tofauti na wanawake wengine kwenye ukahaba wako, hakuna aliyekutongoza ili kuzini naye, wewe ndiye uliyelipa wakati hakuna malipo uliyolipwa wewe. Wewe ulikuwa tofauti. Tazama sura |