Ezekieli 16:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Jinsi moyo wako ulivyokuwa dhaifu, asema Bwana MUNGU, ikiwa unafanya mambo hayo yote, kazi ya mwanamke mzinzi, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 “Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema, kweli wewe ni mgonjwa wa mapenzi. Unafanya uzinzi bila kuona haya hata kidogo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 “Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema, kweli wewe ni mgonjwa wa mapenzi. Unafanya uzinzi bila kuona haya hata kidogo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 “Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema, kweli wewe ni mgonjwa wa mapenzi. Unafanya uzinzi bila kuona haya hata kidogo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 “ ‘Tazama jinsi ulivyo na dhamiri dhaifu, asema Bwana Mungu Mwenyezi, unapofanya mambo haya yote, unatenda kama kahaba asiye aibu! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 “ ‘Tazama jinsi ulivyo na dhamiri dhaifu, asema bwana Mwenyezi, unapofanya mambo haya yote, ukifanya kama kahaba asiyekuwa na aibu! Tazama sura |