Ezekieli 14:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 ili niwakamate nyumba ya Israeli kwa mioyo yao wenyewe, kwa sababu wamefarakana nami kwa vinyago vyao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Nitaigusa mioyo ya Waisraeli ili wanirudie, kwani wamejitenga mbali nami kwa kuabudu sanamu zao za miungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Nitaigusa mioyo ya Waisraeli ili wanirudie, kwani wamejitenga mbali nami kwa kuabudu sanamu zao za miungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Nitaigusa mioyo ya Waisraeli ili wanirudie, kwani wamejitenga mbali nami kwa kuabudu sanamu zao za miungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Nitafanya jambo hili ili kukamata tena mioyo ya watu wa Israeli, ambao wote wameniacha kwa ajili ya sanamu zao.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Nitafanya jambo hili ili kukamata tena mioyo ya watu wa Israeli, ambao wote wameniacha kwa ajili ya sanamu zao.’ Tazama sura |