Ezekieli 13:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Na huo ukuta utakapoanguka, je! Hamtaambiwa, Kuko wapi kupaka kwenu mlikoupaka? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Je, utakapoanguka, watu hawatawauliza: ‘Na ile chokaa mlioupaka iko wapi?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Je, utakapoanguka, watu hawatawauliza: ‘Na ile chokaa mlioupaka iko wapi?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Je, utakapoanguka, watu hawatawauliza: ‘Na ile chokaa mlioupaka iko wapi?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Wakati ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?” Tazama sura |