Ezekieli 12:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Kwa maana hayatakuwapo tena maono yoyote ya ubatili, wala ubashiri wa kujipendekeza, katika nyumba ya Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Maana hapatakuwa tena na maono ya uongo au kupiga bao miongoni mwa Waisraeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Maana hapatakuwa tena na maono ya uongo au kupiga bao miongoni mwa Waisraeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Maana hapatakuwa tena na maono ya uongo au kupiga bao miongoni mwa Waisraeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Kwa maana hapatakuwa tena na maono ya uongo wala ubashiri wa kujipendekeza miongoni mwa watu wa Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Kwa maana hapatakuwepo tena na maono ya uongo wala ubashiri wa udanganyifu miongoni mwa watu wa Israeli. Tazama sura |