Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 12:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura Nakili




Ezekieli 12:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na watu hawa, au nabii au kuhani, atakapokuuliza, akisema, Mzigo wa BWANA ni nini? Ndipo utawaambia, Mzigo gani? BWANA asema, Nitawatupilia mbali.


Na miji yote yenye watu itakuwa maganjo, nayo nchi itakuwa ukiwa; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


Mwanadamu, ni mithali gani hii mliyo nayo katika nchi ya Israeli, mkisema, Siku hizo zinakawia na maono yote hayatimizwi.


Amin, nawaambieni, Mambo hayo yote yatakuja juu ya kizazi hiki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo