Ezekieli 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Mwanadamu, ule chakula chako kwa mtetemo, ukanywe maji yako kwa kutetemeka na kwa kuyatunza sana; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 “Wewe mtu, kula chakula na kunywa maji yako ukitetemeka kwa hofu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 “Wewe mtu, kula chakula na kunywa maji yako ukitetemeka kwa hofu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 “Wewe mtu, kula chakula na kunywa maji yako ukitetemeka kwa hofu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 “Mwanadamu, tetemeka unapokula chakula chako, tetemeka kwa hofu unapokunywa maji yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 “Mwanadamu, tetemeka wakati ulapo chakula chako, tetemeka kwa hofu wakati unywapo maji yako. Tazama sura |