Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Mwanadamu, ule chakula chako kwa mtetemo, ukanywe maji yako kwa kutetemeka na kwa kuyatunza sana;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 “Wewe mtu, kula chakula na kunywa maji yako ukitetemeka kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 “Wewe mtu, kula chakula na kunywa maji yako ukitetemeka kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 “Wewe mtu, kula chakula na kunywa maji yako ukitetemeka kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 “Mwanadamu, tetemeka unapokula chakula chako, tetemeka kwa hofu unapokunywa maji yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 “Mwanadamu, tetemeka wakati ulapo chakula chako, tetemeka kwa hofu wakati unywapo maji yako.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 12:18
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani kuugua kwangu kwaja kana kwamba ni chakula, Na kunguruma kwangu kumemiminika kama maji.


Umewalisha mkate wa machozi, Umewanywesha machozi kwa kipimo kikuu.


Twapata chakula kwa kujihatarisha nafsi zetu; Kwa sababu ya upanga wa nyikani.


Tena neno la BWANA likanijia, kusema,


Utajazwa ulevi na sikitiko, kwa kikombe cha ushangao na ukiwa, kikombe cha dada yako Samaria.


Na chakula chako utakachokula kitapimwa, shekeli ishirini kwa siku moja; utakila kwa wakati wake.


Nami, Danieli, nikaona maono haya peke yangu; maana wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona maono haya; lakini tetemeko kuu liliwashika, hata wakakimbia ili kujificha.


Hapo nitakapovunja tegemeo lenu la mkate, wanawake kumi wataoka mikate yenu katika tanuri moja, nao watawapa mikate yenu tena kwa kupima kwa mizani; nanyi mtakula, lakini hamtashiba.


Tena hao wa kwenu watakaobaki, nitawatia woga mioyoni mwao, katika hizo nchi za adui zao; na sauti ya jani lililopeperushwa itawakimbiza; nao watakimbia, kama mtu akimbiavyo upanga; nao wataanguka hapo ambapo hapana afukuzaye.


kwa hiyo utawatumikia adui zako atakaowaleta BWANA juu yako, kwa njaa, na kwa kiu, na kwa uchi, na kwa uhitaji wa vitu vyote; naye atakuvika kongwa la chuma shingoni mwako, hata atakapokwisha kukuangamiza.


Wala katika mataifa hayo hutapata raha iwayo yote, wala hutakuwa na kituo cha wayo wa mguu wako; lakini BWANA atakupa huko moyo wa kutetema, na macho ya kuzimia, na roho ya kudhoofika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo