Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 12:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Neno la BWANA likanijia tena, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura Nakili




Ezekieli 12:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Itwae mishale; akaitwaa. Akamwambia mfalme wa Israeli, Piga chini; akaipiga nchi mara tatu, akaacha.


BWANA ameniambia hivi, Jitengenezee vifungo na nira, ukajivike shingoni;


Ndipo nikawaambia watu wa uhamisho habari ya mambo yote aliyonionesha BWANA.


Mwanadamu, wewe unakaa kati ya nyumba iliyoasi, watu ambao wana macho ya kuona, ila hawaoni, wana masikio ya kusikia, ila hawasikii; kwa maana ni nyumba iliyoasi.


Maana mimi ni BWANA; mimi nitanena, na neno lile nitakalolinena litatimizwa; wala halitakawilishwa tena; maana katika siku zenu, Ewe nyumba iliyoasi, nitalinena neno hilo na kulitimiza, asema Bwana MUNGU.


Mwanadamu, nyumba ya Israeli, je! Nyumba ile iliyoasi, hawakukuambia, Unafanya nini wewe?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo