Ezekieli 11:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Akaniambia, Mwanadamu, hawa ndio watu wale watungao uovu, na kutoa mashauri mabaya ndani ya mji huu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mwenyezi-Mungu akaniambia: “Wewe mtu, hawa ndio watu watungao uovu na kutoa mashauri mabaya mjini humu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mwenyezi-Mungu akaniambia: “Wewe mtu, hawa ndio watu watungao uovu na kutoa mashauri mabaya mjini humu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mwenyezi-Mungu akaniambia: “Wewe mtu, hawa ndio watu watungao uovu na kutoa mashauri mabaya mjini humu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Mwenyezi Mungu akaniambia, “Mwanadamu, hawa ndio wafanyao hila na kutoa mashauri potovu katika mji huu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 bwana akaniambia, “Mwanadamu, hawa ndio wafanyao hila na kutoa mashauri potovu katika mji huu. Tazama sura |