Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 11:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Neno la Mwenyezi Mungu likanijia, kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura Nakili




Ezekieli 11:14
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, nilipotoa unabii, Pelatia, mwana wa Benaya, akafa. Ndipo nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kuu, nikasema, Ee Bwana MUNGU, je! Utawakomesha kabisa mabaki ya Israeli?


Mwanadamu, ndugu zako, naam, ndugu zako, watu wa jamaa zako, na nyumba yote ya Israeli, wote pia, ndio hao ambao wenyeji wa Yerusalemu wamewaambia, Jitengeni mbali na BWANA, nchi hii tumepewa sisi, iwe milki yetu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo