Ezekieli 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Kisha huo utukufu wa BWANA ukatoka pale juu ya kizingiti cha nyumba, ukasimama juu ya makerubi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Kisha utukufu wa Mwenyezi-Mungu ulitoka kwenye kizingiti cha nyumba, ukaenda na kusimama juu ya wale viumbe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Kisha utukufu wa Mwenyezi-Mungu ulitoka kwenye kizingiti cha nyumba, ukaenda na kusimama juu ya wale viumbe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Kisha utukufu wa Mwenyezi-Mungu ulitoka kwenye kizingiti cha nyumba, ukaenda na kusimama juu ya wale viumbe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kisha utukufu wa Mwenyezi Mungu ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kisha utukufu wa bwana ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi. Tazama sura |