Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 10:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Na magurudumu hayo yaliitwa Kisulisuli, nami nilisikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Niliambiwa kuwa magurudumu yale yanaitwa, “Magurudumu Yanayozunguka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Niliambiwa kuwa magurudumu yale yanaitwa, “Magurudumu Yanayozunguka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Niliambiwa kuwa magurudumu yale yanaitwa, “Magurudumu Yanayozunguka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Nikasikia magurudumu yakiitwa “magurudumu ya kisulisuli”.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.”

Tazama sura Nakili




Ezekieli 10:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nilipokuwa nikivitazama wale viumbe hai, tazama, gurudumu moja juu ya nchi, karibu na kila kimoja cha wale viumbe hai, pande zake zote nne.


Na mwili wao mzima, na maungo yao, na mikono yao, na mabawa yao, na magurudumu, wamejaa macho pande zote, hata magurudumu waliyokuwa nayo wale wanne.


Kila mmoja alikuwa na nyuso nne; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, na uso wa pili ulikuwa uso wa mwanadamu, na uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa tai.


Naye akamwambia mtu yule aliyevaa bafta, akasema, Ingia kati ya magurudumu yazungukayo, yaani, chini ya kerubi, ukaijaze mikono yako yote miwili makaa ya moto, toka katikati ya makerubi, ukayamwage juu ya mji. Akaingia ndani mbele ya macho yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo