Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 10:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Na mwili wao mzima, na maungo yao, na mikono yao, na mabawa yao, na magurudumu, wamejaa macho pande zote, hata magurudumu waliyokuwa nayo wale wanne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Miili ya hao viumbe, migongo yao, mikono na mabawa yao, pamoja na magurudumu, vyote vilijaa macho pande zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Miili ya hao viumbe, migongo yao, mikono na mabawa yao, pamoja na magurudumu, vyote vilijaa macho pande zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Miili ya hao viumbe, migongo yao, mikono na mabawa yao, pamoja na magurudumu, vyote vilijaa macho pande zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Miili yao: migongo yao, mikono na mabawa yao, ilikuwa imejaa macho kote, pamoja na yale magurudumu manne.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Miili yao yote, pamoja na migongo yao, mikono na mabawa yao yote yalikuwa yamejaa macho kabisa kama yalivyokuwa yale magurudumu yao manne.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 10:12
4 Marejeleo ya Msalaba  

Katika habari za vivimbe vyake; vilikuwa virefu, vya kutisha; nayo yote manne, vivimbe vyake vimejaa macho pande zote.


Na magurudumu hayo yaliitwa Kisulisuli, nami nilisikia.


Na mbele ya kile kiti cha enzi kulikuwa na mfano wa bahari ya kioo, kama bilauri; na katikati ya kile kiti cha enzi, na pande zote za kile kiti, walikuwako wenye uhai wanne, wamejaa macho mbele na nyuma.


Na hawa wenye uhai wanne, kila mmoja alikuwa na mabawa sita; pande zote na ndani wamejaa macho, wala hawapumziki mchana wala usiku, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, Bwana Mungu Mwenyezi, aliyekuwako na aliyeko na atakayekuja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo