Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 1:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Na kila mmoja alikuwa na nyuso nne, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 lakini kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 lakini kila kimoja kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 1:6
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na hayo makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema.


Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikuwa na mabawa sita; kwa mawili alifunika uso wake, na kwa mawili alifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka.


Basi, nilipokuwa nikivitazama wale viumbe hai, tazama, gurudumu moja juu ya nchi, karibu na kila kimoja cha wale viumbe hai, pande zake zote nne.


Na chini ya anga mabawa yao yamenyoshwa, moja kulielekea la pili; kila mmoja alikuwa na mawili yaliyowafunika miili yao upande mmoja, na kila mmoja alikuwa na mawili yaliyowafunika miili yao upande wa pili.


Na kuonekana kwake, yote manne yalikuwa na mfano mmoja, kana kwamba gurudumu moja lilikuwa ndani ya gurudumu lingine.


Kila mmoja alikuwa na nyuso nne; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, na uso wa pili ulikuwa uso wa mwanadamu, na uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa tai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo