Ezekieli 1:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Kukatokea katikati yake mfano wa viumbe hai vinne. Kuonekana kwao kulikuwa hivi; walikuwa na sura ya mwanadamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kutoka humo nilibainisha viumbe hai wanne, ambao walionekana hivi: Walikuwa na umbo la binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kutoka humo nilibainisha viumbe hai wanne, ambao walionekana hivi: Walikuwa na umbo la binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kutoka humo nilibainisha viumbe hai wanne, ambao walionekana hivi: Walikuwa na umbo la binadamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Ndani ya ule moto kulikuwa na mfano wa viumbe wanne wenye uhai. Kuonekana kwao walikuwa na umbo la mwanadamu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Katika ule moto kulikuwa na kitu kinachofanana na viumbe vinne vyenye uhai. Katika kuonekana kwake vilikuwa na umbo mfano wa mwanadamu, Tazama sura |