Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 1:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Na wale viumbe hai walipiga mbio, kwenda na kurudi, kama kuonekana kwa kumulika kwa umeme.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Viumbe hao pia walikwenda huku na huko kama pigo la umeme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Viumbe hao pia walikwenda huku na huko kama pigo la umeme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Viumbe hao pia walikwenda huku na huko kama pigo la umeme.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Wale viumbe walipiga mbio kwenda na kurudi, kama miali ya radi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Vile viumbe vilipiga mbio kwenda na kurudi, kama vimulimuli vya umeme wa radi.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 1:14
8 Marejeleo ya Msalaba  

Huipeleka amri yake juu ya nchi, Neno lake lapiga mbio sana.


naam, nilipokuwa nikinena katika kuomba, mtu yule, Gabrieli, niliyemwona katika njozi hapo kwanza, akirushwa upesi, alinigusa panapo wakati wa dhabihu ya jioni.


Maana yeyote aliyeidharau siku ya mambo madogo watafurahi, naye ataiona timazi ikiwa katika mkono wa Zerubabeli; naam, hizi taa saba ndizo macho ya BWANA; yanaona huku na huko duniani kote.


Kwa maana kama vile umeme utokavyo mashariki ukaonekana hata magharibi, hivyo ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.


Naye atawatuma malaika wake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya wateule wake toka pepo nne, toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho huu.


Ndipo atakapowatuma malaika na kuwakusanya wateule wake toka pepo nne, toka upande wa mwisho wa nchi hata upande wa mwisho wa mbingu.


kwa kuwa, kama vile umeme umulikavyo toka upande huu chini ya mbingu hata upande huu chini ya mbingu, ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu katika siku yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo