Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Esta G 8_1:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Ikawa nuru na furaha na shangwe na heshima kwa Wayahudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Hapo Wayahudi waliona fahari, heshima na furaha, wakajisikia wenye nafuu na ushindi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Hawana shukrani kwa yale waliyotendewa na watu, ila, wakiwa wamekumbwa na majivuno ya watu wasiojua ni nini wema, wanadhani wataweza hata kukwepa hukumu ya Mungu achukiaye uovu na aonaye vitu vyote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Si kama huondoa shukrani miongoni mwa watu tu, ila pia huinuliwa kwa maneno makuu ya wapumbavu na kutumaini kuepukana na hukumu ya Mungu ajuaye yote anayeupatiliza uovu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

16 Hawana shukrani kwa yale waliyotendewa na watu, ila, wakiwa wamekumbwa na majivuno ya watu wasiojua ni nini wema, wanadhani wataweza hata kukwepa hukumu ya Mungu achukiaye uovu na aonaye vitu vyote.

Tazama sura Nakili




Esta G 8_1:16
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo