Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Esta 9:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Siku ile mfalme akaletewa hesabu ya hao waliouawa huko Susa mjini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Siku hiyohiyo, mfalme alijulishwa idadi ya watu waliouawa katika mji mkuu wa Susa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Siku hiyohiyo, mfalme alijulishwa idadi ya watu waliouawa katika mji mkuu wa Susa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Siku hiyohiyo, mfalme alijulishwa idadi ya watu waliouawa katika mji mkuu wa Susa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mfalme aliarifiwa siku hiyo hiyo hesabu ya waliouawa katika ngome ya Shushani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mfalme aliarifiwa siku iyo hiyo hesabu ya waliouawa katika ngome ya Shushani.

Tazama sura Nakili




Esta 9:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

wana kumi wa Hamani mwana wa Hamedatha, adui ya Wayahudi; lakini juu ya nyara hawakuweka mikono.


Mfalme akamwambia malkia Esta, Wayahudi wamewaua watu mia tano hapa Shushani ngomeni na kuwaangamiza, pamoja na wana kumi wa Hamani, je! Wamefanyaje basi katika majimbo ya mfalme yaliyosalia! Basi, una nini uombalo? Nawe utapewa; ama unayo haja gani tena? Nayo itatimizwa.


Lakini Wayahudi wa Susa walikusanyika siku ya kumi na tatu ya mwezi huo, na siku ya kumi na nne pia; na siku ya kumi na tano ya mwezi uo huo wakapumzika, wakaifanya kuwa siku ya karamu na furaha.


Nami niliona katika maono; nilipokuwa natazama na nikajionea mwenyewe nikiwa huko Susa, Mji mkuu wa mkoa wa Elamu; nikaona katika maono, nami nilikuwa karibu na mto Ulai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo