Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Esta 6:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Basi Hamani akamwambia mfalme, Yule ambaye mfalme apenda kumheshimu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Basi, Hamani akamjibu mfalme, “Mtu huyo ambaye mfalme angependa kumtunukia heshima,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Basi, Hamani akamjibu mfalme, “Mtu huyo ambaye mfalme angependa kumtunukia heshima,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Basi, Hamani akamjibu mfalme, “Mtu huyo ambaye mfalme angependa kumtunukia heshima,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu,

Tazama sura Nakili




Esta 6:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Hamani alipoyatwaa mavazi na farasi, akamvika Mordekai yale mavazi, akampandisha juu ya farasi na kumtembeza kupitia njia kuu ya mjini, akapiga mbiu mbele yake, Hivyo ndivyo atakavyofanyiwa mtu yule ambaye mfalme apenda kumheshimu.


Basi Hamani akaingia. Mfalme akamwambia, Afanyiwe nini yule ambaye mfalme apenda kumheshimu? Hamani akasema moyoni mwake, Ni nani ambaye mfalme apenda kumheshimu kuliko mimi?


na aletewe mavazi ya kifalme ambayo mfalme amezoea kuyavaa, na farasi ambaye mfalme humpanda mwenyewe, ambaye ametiwa taji la kifalme kichwani;


na yale mavazi na yule farasi akabidhiwe mkononi mmojawapo wa wakuu wa mfalme aliye mstahiki; ili makusudi amvike yule ambaye mfalme apenda kumheshimu, na kumpandisha juu ya farasi na kumtembeza kupitia njia kuu ya mjini, na kupiga mbiu mbele yake, kusema, Hivyo ndivyo atakavyofanyiwa mtu yule ambaye mfalme apenda kumheshimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo