Esta 6:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Basi Hamani akamwambia mfalme, Yule ambaye mfalme apenda kumheshimu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Basi, Hamani akamjibu mfalme, “Mtu huyo ambaye mfalme angependa kumtunukia heshima, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Basi, Hamani akamjibu mfalme, “Mtu huyo ambaye mfalme angependa kumtunukia heshima, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Basi, Hamani akamjibu mfalme, “Mtu huyo ambaye mfalme angependa kumtunukia heshima, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu, Tazama sura |
na yale mavazi na yule farasi akabidhiwe mkononi mmojawapo wa wakuu wa mfalme aliye mstahiki; ili makusudi amvike yule ambaye mfalme apenda kumheshimu, na kumpandisha juu ya farasi na kumtembeza kupitia njia kuu ya mjini, na kupiga mbiu mbele yake, kusema, Hivyo ndivyo atakavyofanyiwa mtu yule ambaye mfalme apenda kumheshimu.