Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Esta 5:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Bali haya yote yanifaa nini, niendeleapo kumwona yule Mordekai, Myahudi, ameketi mlangoni pa mfalme?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini yote haya hayaniridhishi iwapo nitaendelea kumwona yule Myahudi Mordekai penye lango la ikulu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini yote haya hayaniridhishi iwapo nitaendelea kumwona yule Myahudi Mordekai penye lango la ikulu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini yote haya hayaniridhishi iwapo nitaendelea kumwona yule Myahudi Mordekai penye lango la ikulu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Lakini haya yote hayanipi kuridhika iwapo ninaendelea kumwona yule Myahudi Mordekai akiketi kwenye lango la mfalme.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Lakini haya yote hayanipi kuridhika iwapo ninaendelea kumwona yule Myahudi Mordekai akiketi kwenye lango la mfalme.”

Tazama sura Nakili




Esta 5:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

ndio hawa waliokuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndiyo hesabu ya watu wa Israeli;


Basi Hamani alitoka siku ile kwa furaha na ukunjufu wa moyo; lakini Hamani alipomwona Mordekai mlangoni pa mfalme, ya kwamba hasimami wala kunyenyekea mbele yake, alijaa ghadhabu juu ya Mordekai.


Mtu mwovu huwa na uchungu siku zake zote, Hata hesabu ya miaka aliyowekewa mwonevu.


Wewe ujiraruaye mwenyewe katika hasira yako, Je! Dunia itaachwa kwa ajili yako wewe? Au jabali litaondolewa mahali pake?


Asiye haki hunuia mabaya juu ya mwenye haki, Na kumsagia meno yake.


Nimeziona kazi zote zifanywazo chini ya jua; na, tazama, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo.


Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo