Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Esta 4:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Basi Mordekai akaenda zake, akafanya yote kama vile Esta alivyomwagiza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, Mordekai akaenda zake na kufanya kama Esta alivyomwambia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, Mordekai akaenda zake na kufanya kama Esta alivyomwambia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, Mordekai akaenda zake na kufanya kama Esta alivyomwambia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kwa hiyo Mordekai alienda zake na kutekeleza maagizo yote ya Esta.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Kwa hiyo Mordekai alikwenda zake na kutekeleza maagizo yote ya Esta.

Tazama sura Nakili




Esta 4:17
2 Marejeleo ya Msalaba  

Nenda ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Susa, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie.


Ikawa siku ya tatu Esta alijivika mavazi yake ya kifalme, akasimama katika ua wa ndani wa nyumba ya mfalme, kuielekea nyumba ya mfalme; naye mfalme akaketi juu ya kiti chake cha enzi katika nyumba ya mfalme, kuuelekea mlango wa kasri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo