Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Esta 2:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Basi Mordekai akapata kulijua jambo hilo, naye akamjulisha Esta, malkia; naye Esta akamwambia mfalme habari hiyo kwa jina la Mordekai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Mordekai aliingamua njama hiyo, akamjulisha malkia Esta, naye Esta akampasha habari mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Mordekai aliingamua njama hiyo, akamjulisha malkia Esta, naye Esta akampasha habari mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Mordekai aliing'amua njama hiyo, akamjulisha malkia Esta, naye Esta akampasha habari mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Lakini Mordekai aligundua hila hii na kumwambia Malkia Esta, ambaye baadaye alimwarifu mfalme, huku akimsifu Mordekai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Lakini Mordekai aligundua hila hii na kumwambia Malkia Esta, ambaye baadaye alimwarifu mfalme, huku akimsifu Mordekai.

Tazama sura Nakili




Esta 2:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo aliposema Harbona, towashi mmojawapo wa wale waliohudumu mbele ya mfalme, Tazama, basi, mti wa mikono hamsini urefu wake, Hamani aliomwekea tayari Mordekai, ambaye alinena vema kwa ajili ya mfalme, upo umesimamishwa nyumbani kwa Hamani. Mfalme akasema, Mtundikeni juu yake.


Usimlaani mfalme, la, hata katika wazo lako; Wala usiwalaani wakwasi chumbani mwako; Kwa kuwa ndege wa anga ataichukua sauti, Na mwenye mabawa ataitoa habari.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!


Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo