Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Esta 2:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Basi mabikira walipokusanyika mara ya pili, Mordekai alikuwa akiketi mlangoni pa mfalme.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Wasichana walipokusanyika mara ya pili, Mordekai alikuwa ameketi penye lango la mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Wasichana walipokusanyika mara ya pili, Mordekai alikuwa ameketi penye lango la mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Wasichana walipokusanyika mara ya pili, Mordekai alikuwa ameketi penye lango la mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wakati mabikira walikusanyika mara ya pili, Mordekai alikuwa ameketi katika lango la mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wakati mabikira walikusanyika mara ya pili, Mordekai alikuwa ameketi katika lango la mfalme.

Tazama sura Nakili




Esta 2:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa siku zile, Mordekai alipokuwa akiketi mlangoni pa mfalme, wawili kati ya matowashi wake mfalme, Bigthana na Tereshi, waliolinda milango ya vyumba vya mfalme, walikasirika sana, wakataka kumwua mfalme Ahasuero.


Bali haya yote yanifaa nini, niendeleapo kumwona yule Mordekai, Myahudi, ameketi mlangoni pa mfalme?


Basi Hamani alitoka siku ile kwa furaha na ukunjufu wa moyo; lakini Hamani alipomwona Mordekai mlangoni pa mfalme, ya kwamba hasimami wala kunyenyekea mbele yake, alijaa ghadhabu juu ya Mordekai.


Tena, Danieli akamwomba mfalme, naye akawaweka Shadraka, na Meshaki, na Abednego, wawe juu ya mambo yote ya utawala wa Babeli; lakini huyo Danieli alikuwa akikaa katika lango la mfalme.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo