Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Danieli 8:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Naye akamwendea huyo kondoo dume mwenye pembe mbili, niliyemwona akisimama karibu na mto, akamshambulia kwa ghadhabu za nguvu zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Alimwendea yule kondoo dume mwenye pembe mbili niliyemwona akiwa amesimama kando ya mto, akamshambulia kwa nguvu zake zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Alimwendea yule kondoo dume mwenye pembe mbili niliyemwona akiwa amesimama kando ya mto, akamshambulia kwa nguvu zake zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Alimwendea yule kondoo dume mwenye pembe mbili niliyemwona akiwa amesimama kando ya mto, akamshambulia kwa nguvu zake zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Alikuja akimwelekea yule kondoo dume mwenye pembe mbili niliyemwona akisimama kando ya mto, akamshambulia kwa hasira nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Alikuja akimwelekea yule kondoo dume mwenye pembe mbili niliyemwona akisimama kando ya mto, akamshambulia kwa hasira nyingi.

Tazama sura Nakili




Danieli 8:6
2 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nilipokuwa nikifikiri, tazama, beberu akatoka upande wa magharibi, juu ya uso wa dunia nzima, bila kuigusa nchi; na beberu yule alikuwa na pembe mashuhuri kati ya macho yake.


Nikamwona akimkaribia kondoo dume, akamwonea hasira kali, akampiga kondoo dume, akazivunja pembe zake mbili; na huyo kondoo dume alikuwa hana nguvu kusimama mbele yake; bali akamwangusha chini, akamkanyagakanyaga; wala hapakuwapo awezaye kumwokoa kondoo dume katika mkono wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo