Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Danieli 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Yule kondoo dume uliyemwona, mwenye pembe mbili, hizo ndizo wafalme wa Umedi na Uajemi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 “ ‘Yule kondoo dume uliyemwona mwenye pembe mbili, ni wafalme wa Media na Persia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 “ ‘Yule kondoo dume uliyemwona mwenye pembe mbili, ni wafalme wa Media na Persia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 “‘Yule kondoo dume uliyemwona mwenye pembe mbili, ni wafalme wa Media na Persia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kondoo dume mwenye pembe mbili ambaye ulimwona anawakilisha wafalme wa Umedi na Uajemi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kondoo dume mwenye pembe mbili ambaye ulimwona anawakilisha wafalme wa Umedi na Uajemi.

Tazama sura Nakili




Danieli 8:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo;


Na baada yako utainuka ufalme mwingine mdogo kuliko wewe; na ufalme mwingine wa tatu wa shaba, utakaoitawala dunia yote.


PERESI, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi.


Na yule beberu, mwenye manyoya mengi, ni mfalme wa Ugiriki; na ile pembe kubwa iliyo kati ya macho yake ni mfalme wa kwanza.


Ndipo nikainua macho yangu nikaona, na tazama, mbele ya mto alisimama kondoo dume, mwenye pembe mbili; na pembe zile mbili zilikuwa ndefu; lakini moja ilikuwa ndefu kuliko ya pili, na ile iliyokuwa ndefu zaidi ilizuka mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo