Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Danieli 2:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Basi ile amri ikatangazwa, na hao wenye hekima walikuwa karibu na kuuawa; watu wakamtafuta Danieli na wenzake ili wauawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, tangazo likaenea kuwa wenye hekima wote wauawe; Danieli na wenzake, nao pia wakatafutwa ili wauawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, tangazo likaenea kuwa wenye hekima wote wauawe; Danieli na wenzake, nao pia wakatafutwa ili wauawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, tangazo likaenea kuwa wenye hekima wote wauawe; Danieli na wenzake, nao pia wakatafutwa ili wauawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Hivyo amri ikatolewa ya kuwaua wenye hekima, nao watu wakatumwa kuwatafuta Danieli na rafiki zake ili wawaue.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Hivyo amri ikatolewa ya kuwaua wenye hekima, nao watu wakatumwa kuwatafuta Danieli na rafiki zake ili wawaue.

Tazama sura Nakili




Danieli 2:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Watawala waovu wanaweza kushirikiana nawe, Wale watungao madhara kwa njia ya sheria?


Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao sheria za kudhulumu;


Basi Danieli akaenda kwa Arioko, aliyewekwa na mfalme kuwaangamiza wenye hekima wa Babeli; alikwenda akamwambia hivi, Usiwaangamize wenye hekima wa Babeli; niingize mimi mbele ya mfalme, nami nitamwonesha mfalme ile tafsiri.


na kwa sababu ya ule ukuu aliompa, watu wa kabila zote, na mataifa, na lugha, wakatetemeka na kuogopa mbele yake; aliyetaka kumwua alimwua; na aliyetaka kumwacha hai, alimwacha hai; aliyetaka kumtukuza, alimtukuza; na aliyetaka kumshusha, alimshusha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo