Danieli 11:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Basi watakapoanguka, watasaidiwa kwa msaada kidogo; lakini wengi wataambatana nao kwa maneno ya kujipendekeza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Wakati wanapouawa, watapata msaada kidogo, na wengi wanaojiunga nao, watafanya hivyo kwa unafiki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Wakati wanapouawa, watapata msaada kidogo, na wengi wanaojiunga nao, watafanya hivyo kwa unafiki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Wakati wanapouawa, watapata msaada kidogo, na wengi wanaojiunga nao, watafanya hivyo kwa unafiki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Watakapoanguka, watapokea msaada kidogo, nao wengi wasio waaminifu wataungana nao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Watakapoanguka, watapokea msaada kidogo, nao wengi ambao si waaminifu wataungana nao. Tazama sura |