Amosi 5:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Basi, kutakuwa na wakati mbaya ambao hata mwenye busara atanyamaza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Basi, kutakuwa na wakati mbaya ambao hata mwenye busara atanyamaza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Basi, kutakuwa na wakati mbaya ambao hata mwenye busara atanyamaza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kwa hiyo mtu mwenye busara hunyamaza nyakati kama hizo, kwa kuwa nyakati ni mbaya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kwa hiyo mtu mwenye busara hunyamaza kimya nyakati kama hizo, kwa kuwa nyakati ni mbaya. Tazama sura |