Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Akawafariji kwa maneno ya Sheria na Manabii, na kuwakumbusha ushindi wao katika mapigano mengi, na hivyo aliwatia moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Aliwatia moyo kwa maneno ya sheria na mafundisho ya manabii na kwa kuwakumbusha mapambano mbalimbali waliyokuwa wameshinda, akawafanya wawe na hamu zaidi ya kupiga vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Aliwatia moyo kwa maneno ya sheria na mafundisho ya manabii na kwa kuwakumbusha mapambano mbalimbali waliyokuwa wameshinda, akawafanya wawe na hamu zaidi ya kupiga vita.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Akawafariji kwa maneno ya Sheria na Manabii, na kuwakumbusha ushindi wao katika mapigano mengi, na hivyo aliwatia moyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

9 Aliwatia moyo kwa maneno ya sheria na mafundisho ya manabii na kwa kuwakumbusha mapambano mbalimbali waliyokuwa wameshinda, akawafanya wawe na hamu zaidi ya kupiga vita.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:9
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo