Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Akawaonya watu wake wasiyaogope mashambulio ya mataifa, bali waukumbuke msaada walioupata mara nyingi kutoka mbinguni na kuutazamia sasa ushindi watakaoletewa na Mwenyezi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Hivi akawahimiza watu wake wasiwaogope maadui. Aliwatia moyo kwa kuwataka wakumbuke jinsi Mungu Mwenye Nguvu alivyokuwa amewasaidia siku za nyuma, na akawathibitishia kwamba Mungu angewasaidia pia safari hii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Hivi akawahimiza watu wake wasiwaogope maadui. Aliwatia moyo kwa kuwataka wakumbuke jinsi Mungu Mwenye Nguvu alivyokuwa amewasaidia siku za nyuma, na akawathibitishia kwamba Mungu angewasaidia pia safari hii.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Akawaonya watu wake wasiyaogope mashambulio ya mataifa, bali waukumbuke msaada walioupata mara nyingi kutoka mbinguni na kuutazamia sasa ushindi watakaoletewa na Mwenyezi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

8 Hivi akawahimiza watu wake wasiwaogope maadui. Aliwatia moyo kwa kuwataka wakumbuke jinsi Mungu Mwenye Nguvu alivyokuwa amewasaidia siku za nyuma, na akawathibitishia kwamba Mungu angewasaidia pia safari hii.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:8
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo