Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 15:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Hata hivi, Makabayo hakuacha kutumaini kwa imani kabisa ya kuwa atapata msaada kwa BWANA. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Lakini Yuda alikuwa na imani thabiti kwamba Bwana angemsaidia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Lakini Yuda alikuwa na imani thabiti kwamba Bwana angemsaidia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Hata hivyo, Makabayo hakuacha kutumaini kwa imani kabisa ya kuwa atapata msaada kwa BWANA. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA7 Lakini Yuda alikuwa na imani thabiti kwamba Bwana angemsaidia. Tazama sura |