Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Akasema, Mimi nami ni mfalme hapa duniani, na amri yangu ndiyo mshike silaha na kufanya kazi ya mfalme. Lakini hakufaulu katika kulitimiza shauri lake baya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Lakini Nikanori akajibu: “Mimi ndiye mtawala duniani, na ninawaamuru kushika silaha zenu na kufanya anachoamuru mfalme.” Hata hivyo, Nikanori hakufaulu kutekeleza mpango wake wa kikatili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Lakini Nikanori akajibu: “Mimi ndiye mtawala duniani, na ninawaamuru kushika silaha zenu na kufanya anachoamuru mfalme.” Hata hivyo, Nikanori hakufaulu kutekeleza mpango wake wa kikatili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Akasema, Mimi nami ni mfalme hapa duniani, na amri yangu ndiyo mshike silaha na kufanya kazi ya mfalme. Lakini hakufaulu katika kulitimiza shauri lake baya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

5 Lakini Nikanori akajibu: “Mimi ndiye mtawala duniani, na ninawaamuru kushika silaha zenu na kufanya anachoamuru mfalme.” Hata hivyo, Nikanori hakufaulu kutekeleza mpango wake wa kikatili.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:5
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo