Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Kama yametungwa kwa ufasaha na kupangwa kwa ustadi, ndivyo nilivyotaka. Lakini kama ni hafifu, au si mazuri sana, ndivyo nilivyoweza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Kama yameandikwa kwa ufasaha na mpangilio, ninafurahi; lakini kama yameandikwa ovyoovyo na bila kivutio, hivyo ndivyo nilivyoweza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Kama yameandikwa kwa ufasaha na mpangilio, ninafurahi; lakini kama yameandikwa ovyoovyo na bila kivutio, hivyo ndivyo nilivyoweza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Kama yametungwa kwa ufasaha na kupangwa kwa ustadi, ndivyo nilivyotaka. Lakini kama ni hafifu, au si mazuri sana, ndivyo nilivyoweza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

38 Kama yameandikwa kwa ufasaha na mpangilio, ninafurahi; lakini kama yameandikwa ovyoovyo na bila kivutio, hivyo ndivyo nilivyoweza.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:38
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo